Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 50:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana kila mnyama-pori ni wangu, Na mifugo juu ya angani elfu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

maana wanyama wote porini ni mali yangu, na maelfu ya wanyama milimani ni wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

maana wanyama wote porini ni mali yangu, na maelfu ya wanyama milimani ni wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

maana wanyama wote porini ni mali yangu, na maelfu ya wanyama milimani ni wangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, na pia makundi ya mifugo juu ya vilima elfu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, na pia makundi ya mifugo juu ya vilima elfu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana kila mnyama-pori ni wangu, Na mifugo juu angani maelfu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 50:10
14 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake.


Hivi Mungu akamnyang'anya mali yake baba yenu, na kunipa mimi.


Utoe pamoja nawe kila kilicho hai kilichomo pamoja nawe, chenye mwili, ndege, na mnyama, na kila kitambaacho, chenye kutambaa juu ya nchi; wajae katika nchi, wawe na uzazi, wakaongezeke katika nchi.


Huyameesha majani kwa makundi, Na maboga kwa matumizi ya mwanadamu; Ili atoe chakula katika nchi,


Nchi na vyote vilivyomo ni mali ya BWANA, Dunia na wote wakaao ndani yake.


na kila mahali wakaapo wanadamu, wanyama wa kondeni na ndege wa angani amewatia mkononi mwako, naye amekumilikisha juu ya hao wote; wewe u kichwa kile cha dhahabu.


na mimi, je! Haikunipasa kuuhurumia Ninawi, mji ule mkubwa; ambao ndani yake wamo watu zaidi ya elfu mia moja na ishirini, wasioweza kupambanua katika mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto; tena wamo wanyama wa kufugwa wengi sana?