Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 5:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA, uniongoze kwa haki yako, Kwa sababu yao wanaoniotea. Uinyoshe njia yako mbele ya uso wangu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uniongoze, ee Mwenyezi-Mungu, katika uadilifu wako, maana maadui zangu ni wengi; uiweke njia yako wazi mbele yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uniongoze, ee Mwenyezi-Mungu, katika uadilifu wako, maana maadui zangu ni wengi; uiweke njia yako wazi mbele yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uniongoze, ee Mwenyezi-Mungu, katika uadilifu wako, maana maadui zangu ni wengi; uiweke njia yako wazi mbele yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Niongoze katika haki yako, Ee Mwenyezi Mungu, kwa sababu ya adui zangu, nyoosha njia yako mbele yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Niongoze katika haki yako, Ee bwana, kwa sababu ya adui zangu, nyoosha njia yako mbele yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA, uniongoze kwa haki yako, Kwa sababu yao wanaoniotea. Uinyoshe njia yako mbele ya uso wangu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 5:8
16 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini, kwa kuwa kwa tendo hili umewapa adui za BWANA nafasi kubwa ya kukufuru, mtoto atakayezaliwa kwako hakika atakufa.


Kwa moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.


BWANA, dunia imejaa fadhili zako, Unifundishe amri zako.


Nitasujudu nikilikabili hekalu lako takatifu, Nitalishukuru jina lako, Kwa ajili ya fadhili zako na uaminifu wako, Kwa maana umeikuza ahadi yako, na jina lako juu ya vyote.


Ee BWANA, unifundishe njia yako, Na kuniongoza katika njia iliyonyoka; Kwa sababu yao wanaoniotea;


Nimekukimbilia Wewe, BWANA, Nisiaibike milele. Kwa haki yako uniponye,


Atawarudishia adui zangu ubaya wao; Uwaangamize kwa uaminifu wako.


Mungu wa fadhili zangu atanitangulia, Mungu atanijalia kutazama kwa ushindi juu ya adui zangu.


Ee BWANA, unifundishe njia yako; Nitakwenda katika kweli yako; Moyo wangu na ufurahi kulicha jina lako;


Macho yako yatazame mbele, Na kope zako zitazame mbele yako sawasawa.


Maji yalinizunguka, hata nafsini mwangu; Vilindi vilinizunguka; Mwani ulikizinga kichwa changu;


Kwa sababu huyo ndiye aliyenenwa na nabii Isaya, akisema, Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.


mkaifanyie miguu yenu njia za kunyoka, ili kitu kilicho kiwete kisipotoshwe, bali afadhali kiponywe.