Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 5:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Utawaharibu wasemao uongo; BWANA humchukia mwuaji na mwenye hila

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wawaangamiza wote wasemao uongo; wawachukia wauaji na wadanganyifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wawaangamiza wote wasemao uongo; wawachukia wauaji na wadanganyifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wawaangamiza wote wasemao uongo; wawachukia wauaji na wadanganyifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Unawaangamiza wasemao uongo. Mwenyezi Mungu huwachukia wanaomwaga damu na wadanganyifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Unawaangamiza wasemao uongo. bwana huwachukia wamwagao damu na wadanganyifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Utawaharibu wasemao uongo; BWANA humchukia mwuaji na mwenye hila

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 5:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

wakawaambia, Hatuwezi kufanya neno hili, tumpe dada yetu mtu asiyetahiriwa; ingekuwa aibu kwetu.


BWANA amerudisha juu yako damu yote ya nyumba ya Sauli ambaye umetawala badala yake; naye BWANA ametia ufalme katika mkono wa Absalomu mwanao; kisha, angalia, wewe umetwaliwa katika uovu wako mwenyewe, kwa sababu umekuwa mtu wa damu.


Basi ilitukia ya kwamba kulikuwapo mtu asiyefaa, jina lake akiitwa Sheba, mwana wa Bikri, Mbenyamini; naye akapiga tarumbeta, akasema, Sisi hatuna sehemu katika Daudi, wala hatuna urithi katika mwana wa Yese; nendeni kila mtu hemani kwake, enyi Israeli.


BWANA humjaribu mwenye haki; Bali nafsi yake humchukia asiye haki, Na mwenye kupenda udhalimu.


Enyi wanadamu, hadi lini utukufu wangu utafedheheka? Je! Mtapenda ubatili na kutafuta uongo hadi lini?


Ee Bwana, unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, Uniokoe kutoka kwa mtu wa hila asiye haki.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Kwa maana, tazama, BWANA anakuja kutoka mahali pake, ili kuwaadhibu wakaao duniani, kwa sababu ya uovu wao; ardhi nayo itafunua damu yake, wala haitawafunika tena watu wake waliouawa.


Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya,


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.


Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.