Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 49:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa nini niogope wakati wa shida, Ubaya ukinizunguka miguuni pangu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ya nini niogope siku mbaya, wakati nizungukwapo na uovu wa adui?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ya nini niogope siku mbaya, wakati nizungukwapo na uovu wa adui?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ya nini niogope siku mbaya, wakati nizungukwapo na uovu wa adui?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa nini niogope siku mbaya zinapokuja, wakati wadanganyifu waovu wanaponizunguka,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa nini niogope siku mbaya zinapokuja, wakati wadanganyifu waovu wanaponizunguka,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa nini niogope wakati wa shida, Ubaya ukinizunguka miguuni pangu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 49:5
19 Marejeleo ya Msalaba  

Dani atakuwa nyoka barabarani, Bafe katika njia, Aumaye visigino vya farasi, Na apandaye akaanguka chali.


Kwa maana mbwa wamenizunguka; Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenidunga mikono na miguu.


Naam, nijapopita kati ya bonde la kivuli cha mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.


Maana dhambi zangu zimenifunika kichwa, Kama mzigo mzito zimenilemea mno.


Nitafumbua kinywa changu kwa mithali, Niyatamke mafumbo ya kale.


Ukizimia siku ya taabu, Nguvu zako ni chache.


Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, Naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.


Wala hawafikiri mioyoni mwao ya kwamba naukumbuka uovu wao wote; sasa matendo yao wenyewe yamewazunguka pande zote; yako mbele za uso wangu.


Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.


Akatunga mithali yake, akasema, Balaki amenileta kutoka Aramu, Mfalme wa Moabu kutoka milima ya mashariki, Njoo! Unilaanie Yakobo, Njoo! Unishutumie Israeli.


akaniambia, Usiogope, Paulo, huna budi kusimama mbele ya Kaisari; tena, tazama, Mungu amekupa watu wote wanaosafiri pamoja nawe.


mkiukomboa wakati kwa maana nyakati hizi ni za uovu.


wala hamwaogopi adui zenu, katika neno lolote; kwao hao ni ishara thabiti ya kuangamizwa, bali kwenu ninyi ni ishara ya wokovu, huo utokao kwa Mungu.


Basi sasa, isianguke damu yangu chini mbali na uso wa BWANA; maana mfalme wa Israeli ametoka ili kutafuta uhai wangu, kama vile mtu awindavyo kware mlimani.