Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 49:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nitatega sikio langu nisikie mithali, Na kufumbua fumbo langu kwa kinubi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nitatega sikio nisikilize methali, nitafafanua kitendawili kwa muziki wa zeze.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nitatega sikio nisikilize methali, nitafafanua kitendawili kwa muziki wa zeze.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nitatega sikio nisikilize methali, nitafafanua kitendawili kwa muziki wa zeze.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitatega sikio langu nisikilize mithali, nitafafanua kitendawili kwa zeze:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitatega sikio langu nisikilize mithali, nitafafanua kitendawili kwa zeze:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nitatega sikio langu nisikie mithali, Na kufumbua fumbo langu kwa kinubi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 49:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nitafumbua kinywa changu kwa mithali, Niyatamke mafumbo ya kale.


Kufahamu mithali na kitendawili, na maneno ya wenye hekima na mafumbo yao.


Ndipo nikasema, Ee Bwana MUNGU, wao hunisema; Je! Mtu huyu si mtu mwenye kupiga mithali?


Na wakati wa mwisho wa ufalme wao, wakosaji watakapotimia kilele cha uovu wao, mfalme mwenye uso mkali, afahamuye mafumbo, atasimama.


Kwake nitanena mdomo kwa mdomo, Maana, waziwazi wala si kwa mafumbo; Na umbo la BWANA yeye ataliona. Mbona basi ninyi hamkuogopa Kumteta mtumishi wangu, huyo Musa?


Akatunga mithali yake, akasema, Balaki amenileta kutoka Aramu, Mfalme wa Moabu kutoka milima ya mashariki, Njoo! Unilaanie Yakobo, Njoo! Unishutumie Israeli.


ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema, Nitafumbua kinywa changu kwa mifano, Nitayatamka yaliyositirika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.


Basi, yoyote mliyosema gizani yatasikiwa mwangani; na mliyonena sikioni mwa mtu katika vyumba vya ndani, yatatangazwa juu ya dari.


Basi, kwa kuwa mna tumaini la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;