Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 49:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Atakwenda kwenye kizazi cha baba zake Hawataona nuru hata milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

atajiunga na wazee waliomtangulia kufa, ambao hawawezi kuona tena mwanga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

atajiunga na wazee waliomtangulia kufa, ambao hawawezi kuona tena mwanga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

atajiunga na wazee waliomtangulia kufa, ambao hawawezi kuona tena mwanga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

atajiunga na kizazi cha baba zake, ambao hawataona kamwe nuru ya uzima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

atajiunga na kizazi cha baba zake, ambao hawataona kamwe nuru ya uzima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Atakwenda kwenye kizazi cha baba zake Hawataona nuru hata milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 49:19
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wewe utakwenda kwa baba zako kwa amani, utazikwa katika uzee mwema.


Baasha akalala na babaze, akazikwa katika Tirza; naye Ela mwanawe akatawala mahali pake.


Ili kurudisha roho yake itoke shimoni, Ili atiwe mwanga kwa mwanga wa walio hai.


Maana umeniponya nafsi yangu na mauti; Je! Hukuizuia miguu yangu isianguke? Ili niende mbele za Mungu Katika nuru ya walio hai.


Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.


Ni nani ajuaye kama roho ya binadamu huenda juu, na kama roho ya mnyama huenda chini?


Mfalme akawaambia watumishi, Mfungeni mikono na miguu, mchukueni mkamtupe katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


bali wana wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani?


ni mawimbi ya bahari yasiyozuilika, yakitoa aibu yao wenyewe kama povu; ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba yao waliowekewa milele.