Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 49:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ajapojibariki nafsi yake alipokuwa hai, Na watu watakusifu ukijitendea mema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ajapojikuza katika maisha haya, na kusifiwa kwa sababu ya kufanikiwa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ajapojikuza katika maisha haya, na kusifiwa kwa sababu ya kufanikiwa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ajapojikuza katika maisha haya, na kusifiwa kwa sababu ya kufanikiwa,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri, na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri, na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ajapojibariki nafsi yake alipokuwa hai, Na watu watakusifu ukijitendea mema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 49:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nao watumishi wote wa mfalme, walioketi langoni pa mfalme, wakainama na kumsujudia Hamani, maana ndivyo mfalme alivyoamuru wamfanyie. Lakini Mordekai hakumwinamia, wala kumsujudia.


Au pamoja na wakuu wenye dhahabu, Waliozijaza nyumba zao fedha;


Maana mdhalimu hujisifia tamaa ya nafsi yake, Na mwenye choyo humkana BWANA na kumdharau.


na mali hizo zimepotea kwa bahati mbaya; naye akiwa amezaa mwana, hamna kitu mkononi mwake.


Naye Efraimu alisema, Kweli nimekuwa tajiri, nimejipatia mali nyingi; katika kazi zangu zote hawataona kwangu uovu wowote uliokuwa dhambi.


Kisha, nitajiambia, Ee nafsi yangu, una vitu vyema vingi ulivyojiwekea akiba kwa miaka mingi; pumzika basi, ule, unywe, ufurahi.


ikawa asikiapo maneno ya laana hii, ajibarikie mtu huyo moyoni mwake, na kusema, Nitakuwa katika amani, nijapotembea katika upotoe wa moyo wangu kwa kuangamiza mbichi na kavu;


na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishiye salama, Amani na iwe kwako, na amani nyumbani mwako, na amani kwao wote ulio nao.