Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 48:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama upepo wa mashariki Unapovunja jahazi za Tarshishi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kama waliokumbwa na kimbunga cha mashariki ambacho huzivunjavunja meli za Tarshishi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kama waliokumbwa na kimbunga cha mashariki ambacho huzivunjavunja meli za Tarshishi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kama waliokumbwa na kimbunga cha mashariki ambacho huzivunjavunja meli za Tarshishi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama upepo wa mashariki Unapovunja jahazi za Tarshishi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 48:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa mfalme alikuwa na merikebu za Tarshishi baharini pamoja na merikebu za Hiramu; mara moja katika miaka mitatu huja merikebu za Tarshishi, zikileta dhahabu, na fedha, na pembe, na nyani, na tausi.


Yehoshafati akafanya merikebu za Tarshishi ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda; kwa maana merikebu zilivunjika huko Esion-geberi.


Makabila ya watu wamesikia, wanatetemeka, Wakazi wa Ufilisti uchungu umewashika.


Nao watafadhaika; watashikwa na uchungu na maumivu; watakuwa na uchungu kama mwanamke aliye karibu kuzaa; watakodoleana macho; nyuso zao zitakuwa ni nyuso za moto.


na juu ya merikebu zote za Tarshishi, na juu ya kila taswira ipendezayo.


Nami nitawatawanya mbele ya adui, kama kwa upepo wa mashariki; nami nitaviangalia visogo vyao, wala si nyuso zao, siku ya msiba wao.