Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 48:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mara Walipouona, wakashtuka; Wakafadhaika na kukimbia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini walipouona mji wa Siyoni, wakashangaa; wakashikwa na hofu, wakatimua mbio.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini walipouona mji wa Siyoni, wakashangaa; wakashikwa na hofu, wakatimua mbio.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini walipouona mji wa Siyoni, wakashangaa; wakashikwa na hofu, wakatimua mbio.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

walimwona, wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara Walipouona, wakashtuka; Wakafadhaika na kukimbia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 48:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri pamoja, Juu ya BWANA, Na juu ya masihi wake,


Akayakwamisha magurudumu ya magari yao, hata yakaenda kwa shida; na Wamisri wakasema, Na tuwakimbieni Waisraeli; kwa kuwa BWANA anawapigania.


Wafalme hao wote wakakutana pamoja; wakaenda na kupanga mahema yao pamoja hapo penye maji ya Meromu, ili kupigana na Israeli.