Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 48:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa maana ndivyo alivyo MUNGU, Mungu wetu. Milele na milele Yeye ndiye atakayetuongoza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Huyu ni Mungu, Mungu wetu milele! Atakuwa kiongozi wetu milele!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Huyu ni Mungu, Mungu wetu milele! Atakuwa kiongozi wetu milele!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Huyu ni Mungu, Mungu wetu milele! Atakuwa kiongozi wetu milele!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana ndivyo alivyo MUNGU, Mungu wetu. Milele na milele Yeye ndiye atakayetuongoza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 48:14
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe ulijifanyia imara watu wako wa Israeli, wawe watu wako milele; nawe, BWANA, umekuwa Mungu wao.


Nimemwambia BWANA, Ndiwe BWANA wangu; Sina wema ila utokao kwako.


Wenye upole atawaongoza katika haki, Wenye upole atawafundisha njia yake.


Lakini mimi nakutumaini Wewe, BWANA, Nimesema, Wewe ndiwe Mungu wangu.


Na hata nikiwa ni mzee mwenye mvi, Ee Mungu, usiniache. Hata niwaeleze watu wa kizazi hiki nguvu zako, Na kila atakayekuja uweza wako.


Utaniongoza kwa shauri lako, Na baadaye utanikaribisha kwa utukufu.


Mwili wangu na moyo wangu hupunguka, Bali Mungu ni mwamba wa moyo wangu Na sehemu yangu milele.


Natembea katika njia ya haki, Katikati ya mapito ya hukumu.


Naye BWANA atakuongoza daima, ataishibisha nafsi yako mahali pasipokuwa na maji, na kuitia nguvu mifupa yako; nawe utakuwa kama bustani iliyotiwa maji, na kama chemchemi ambayo maji yake hayapungui.


Najikumbusha neno hili, Kwa hiyo nina matumaini.


Ikiwa lile wingu lilikawia, likikaa juu ya maskani siku mbili, au mwezi, au mwaka, wana wa Israeli walikaa katika kambi yao, wasisafiri;


Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.