Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 47:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote, Imbeni kwa zaburi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwimbieni Mungu sifa kwa tenzi; maana yeye ni mfalme wa ulimwengu wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwimbieni Mungu sifa kwa tenzi; maana yeye ni mfalme wa ulimwengu wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwimbieni Mungu sifa kwa tenzi; maana yeye ni mfalme wa ulimwengu wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa Mungu ni mfalme wa dunia yote, mwimbieni zaburi za sifa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa Mungu ni mfalme wa dunia yote, mwimbieni zaburi za sifa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote, Imbeni kwa zaburi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 47:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana ghadhabu zake ni za muda mfupi tu; Radhi yake ni ya milele. Kilio huweza kuwapo usiku, Lakini furaha huja asubuhi.


Kwa kuwa BWANA Aliye Juu, mwenye kuogofya, Ndiye mfalme mkuu juu ya dunia yote.


Mungu ayatawala mataifa, Mungu ameketi katika kiti chake kitakatifu.


Naye BWANA atakuwa Mfalme wa nchi yote; siku hiyo BWANA atakuwa mmoja, na jina lake moja.


Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.


Malaika wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata milele na milele.