Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 47:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Amewatiisha watu wa nchi chini yetu, Na mataifa chini ya miguu yetu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ametuwezesha kuwashinda watu wa mataifa, ameyaweka mataifa chini ya mamlaka yetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ametuwezesha kuwashinda watu wa mataifa, ameyaweka mataifa chini ya mamlaka yetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ametuwezesha kuwashinda watu wa mataifa, ameyaweka mataifa chini ya mamlaka yetu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ametiisha mataifa chini yetu, watu wengi chini ya miguu yetu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ametiisha mataifa chini yetu watu wengi chini ya miguu yetu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amewatiisha watu wa nchi chini yetu, Na mataifa chini ya miguu yetu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 47:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA kwa Bwana wangu, Uketi upande wangu wa kulia, Hadi niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.


Ndiye Mungu anilipizaye kisasi; Na kuwatiisha watu chini yangu.


Njoni myaone matendo ya Mungu; Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu;


Ningewadhili adui zao kwa upesi, Na juu ya watesi wao ningegeuza mkono wangu;


Kwa kuwa BWANA ni Mungu mkuu, Na Mfalme mkuu juu ya miungu yote.


BWANA ni mkuu katika Sayuni, Naye ametukuka juu ya mataifa yote.


Ni nani asiyekucha wewe, Ee mfalme wa mataifa? Maana hii ni sifa yako wewe; kwa kuwa miongoni mwa wenye hekima wote wa mataifa, na katika hali yao ya enzi yote pia, hapana hata mmoja kama wewe.


Naye BWANA atakuwa Mfalme wa nchi yote; siku hiyo BWANA atakuwa mmoja, na jina lake moja.


Lakini na alaaniwe mtu adanganyaye, ambaye katika kundi lake ana dume, akaweka nadhiri, ila amtolea Bwana kitu kilicho na kilema; kwa maana mimi ni Mfalme mkuu, asema BWANA wa majeshi, na jina langu latisha katika mataifa.


Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke adui zake wote chini ya miguu yake.


U heri, Israeli. Ni nani aliye kama wewe, taifa lililookolewa na BWANA! Ndiye ngao ya msaada wako, Na upanga wa utukufu wako; Na adui zako watajitiisha chini yako, Nawe utapakanyaga mahali pao pa juu.


atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote viwe chini yake.


Kisha BWANA akawapa raha pande zote, sawasawa na hayo yote aliyokuwa amewaapia baba zao; wala katika adui zao wote hakusimama hata mtu mmoja miongoni mwao mbele zao; yeye BWANA akawatia adui zao wote mikononi mwao.