Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 41:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Adui zangu wananitaja kwa maneno mabaya, Atakufa lini, jina lake lipotee?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Madui zangu husema vibaya juu yangu: “Atakufa lini na jina lake litoweke!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Madui zangu husema vibaya juu yangu: “Atakufa lini na jina lake litoweke!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Madui zangu husema vibaya juu yangu: “Atakufa lini na jina lake litoweke!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Adui zangu wanasema kwa hila, “Lini atakufa, na jina lake litokomee kabisa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Adui zangu wanasema kwa hila, “Lini atakufa, na jina lake litokomee kabisa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Adui zangu wananitaja kwa maneno mabaya, Atakufa lini, jina lake lipotee?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 41:5
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kumbukumbu lake litakoma katika nchi, Wala hatakuwa na jina mashambani.


Hata hivyo ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe; Hao waliomwona watasema, Yuko wapi?


Adui zangu wananilaumu mchana kutwa; Wanaonichukia kana kwamba wana wazimu Wakitaja jina langu katika laana zao.


Nao wanaoutafuta uhai wangu hutega mitego; Nao wanaotaka kunidhuru hunena mabaya; Na kufikiri hila mchana kutwa.


Maana nimejua mimi makosa yangu Na dhambi yangu iko mbele yangu daima.


Tazama, wapendezwa na kweli iliyo moyoni; Nawe utanifundisha hekima kwa siri,


Adui zangu wanataka kunimeza mchana kutwa, Maana ni wengi wanaonipiga vita.


Nitamwita MUNGU Aliye Juu, Mungu anitimiziaye mambo yangu.


Njia yake ijulikane duniani, Wokovu wake katikati ya mataifa yote.


Unielekee na kunifadhili mimi; Mpe mtumishi wako nguvu zako, Umwokoe mwana wa mjakazi wako.


Wewe, Bwana, unifadhili, Maana nakulilia Wewe mchana kutwa.


Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.