Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 40:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nilimngoja BWANA kwa subira, Akaniinamia na kusikia kilio changu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilimngojea Mwenyezi-Mungu kwa uvumilivu, akanielekea na kukisikia kilio changu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilimngojea Mwenyezi-Mungu kwa uvumilivu, akanielekea na kukisikia kilio changu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilimngojea Mwenyezi-Mungu kwa uvumilivu, akanielekea na kukisikia kilio changu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nilimngoja Mwenyezi Mungu kwa saburi, naye akanijia na kusikia kilio changu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nilimngoja bwana kwa saburi, naye akaniinamia, akasikia kilio changu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nilimngoja BWANA kwa subira, Akaniinamia na kusikia kilio changu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 40:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana amenitegea sikio lake, Kwa hiyo nitamwita siku zangu zote.


Bwana, uisikie sauti yangu. Masikio yako na yaisikilize Sauti ya dua zangu.


Macho ya BWANA huwaelekea wenye haki, Na masikio yake hukielekea kilio chao.


Utulie mbele za BWANA, Nawe umngojee kwa subira; Usihangaike juu ya afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu apangaye maovu.


Ee Mungu wangu, tega sikio lako, ukasikie; fumbua macho yako ukautazame ukiwa wetu, na mji ule ulioitwa kwa jina lako; maana hatukutolei maombi yetu kwa sababu ya haki yetu, lakini kwa sababu ya rehema zako nyingi.