Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 4:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Toeni dhabihu za haki, Na kumtumaini BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Toeni tambiko zilizo sawa, na kumtumainia Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Toeni tambiko zilizo sawa, na kumtumainia Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Toeni tambiko zilizo sawa, na kumtumainia Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Toeni dhabihu zilizo haki; mtegemeeni Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Toeni dhabihu zilizo haki; mtegemeeni bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Toeni dhabihu za haki, Na kumtumaini BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 4:5
19 Marejeleo ya Msalaba  

Absalomu alipokuwa akitoa dhabihu alituma Ahithofeli Mgiloni, Mshauri wake Daudi, aitwe kutoka mji wake, yaani, Gilo. Njama zao zikawa na nguvu; maana watu waliokuwa pamoja na Absalomu walizidi kuongezeka.


Shikeni yaliyo bora, asije akafanya hasira Nanyi mkapotea njiani, Kwa kuwa hasira yake huwaka upesi; Heri wote wanaomkimbilia.


Ee BWANA, unihukumu mimi, Maana nimekwenda kwa ukamilifu wangu, Nami nimemtumaini BWANA bila wasiwasi.


Umtumaini BWANA ukatende mema, Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu.


Mtolee Mungu dhabihu za kushukuru; Mtimizie Aliye Juu nadhiri zako.


Ndipo utakapopendezwa na dhabihu za haki, Na sadaka za kuteketezwa, na kafara. Ndipo watakapotoa ng'ombe Juu ya madhabahu yako.


Enyi watu, mtumainini sikuzote, Ifunueni mioyo yenu mbele zake; Mungu ndiye kimbilio letu.


Je! Bwana atatutupa milele na milele? Asiwe na fadhili kwetu kamwe?


Ni nani miongoni mwenu amchaye BWANA, aitiiye sauti ya mtumishi wake? Yeye aendaye katika giza, wala hana nuru, naye alitumainia jina la BWANA, na kumtegemea Mungu wake.


Maana mimi, BWANA, naipenda hukumu ya haki, nauchukia wizi na uovu; nami nitawalipa malipo katika kweli, nitaagana nao agano la milele.


Tena mtoapo sadaka aliye kipofu, si vibaya? Na mtoapo sadaka walio vilema na wagonjwa, si vibaya? Haya! Mtolee mtawala wako; Je, Atakuwa radhi nawe? Au atakukubali nafsi yako? Asema BWANA wa majeshi.


Basi ukileta sadaka yako madhabahuni, ukikumbuka ya kuwa ndugu yako ana neno juu yako,


Watayaita mataifa waje mlimani; Wakasongeze huko sadaka za haki; Kwa kuwa watanyonya wingi wa bahari, Na akiba zilizofichamana za mchangani.


Basi wao wateswao kwa mapenzi ya Mungu na wamwekee amana roho zao, katika kutenda mema, kama kwa Muumba mwaminifu.