Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 38:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Bwana, haja zangu zote ziko mbele zako, Kuugua kwangu hakukusitirika kwako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Bwana, wewe wajua tazamio langu lote; kwako hakikufichika kilio changu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Bwana, wewe wajua tazamio langu lote; kwako hakikufichika kilio changu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Bwana, wewe wajua tazamio langu lote; kwako hakikufichika kilio changu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku yako wazi mbele zako, kutamani kwangu sana hakufichiki mbele zako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee bwana, yote ninayoyaonea shauku yako wazi mbele zako, kutamani kwangu sana hakufichiki mbele zako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bwana, haja zangu zote ziko mbele zako, Kuugua kwangu hakukusitirika kwako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 38:9
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA, utayasikia matakwa ya wanyonge, Uutaidhibiti mioyo yao, utalitega sikio lako.


Ili akisikie kilio cha kuugua kwake aliyefungwa, Na kuwafungua walioandikiwa kufa.


Kwa ajili ya kilio cha kuugua kwangu Mifupa yangu imegandamana na nyama yangu.


Nimechoka kwa kuugua kwangu; Kila usiku nakibubujikia kitanda changu; Nililowesha godoro langu kwa machozi yangu.


Nathanaeli akamwambia, Umepataje kunitambua? Yesu akajibu, akamwambia, Kabla Filipo hajakuita, ulipokuwapo chini ya mtini nilikuona.


Maana katika nyumba hii twaugua, tukitamani sana kuvikwa kao letu litokalo mbinguni;