Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 38:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana viuno vyangu vimejaa homa, Wala hamna uzima katika mwili wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Viungo vyangu vimeshambuliwa na homa; mwilini mwangu hamna nafuu yoyote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Viungo vyangu vimeshambuliwa na homa; mwilini mwangu hamna nafuu yoyote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Viungo vyangu vimeshambuliwa na homa; mwilini mwangu hamna nafuu yoyote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo, hakuna afya mwilini mwangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo, hakuna afya mwilini mwangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana viuno vyangu vimejaa homa, Wala hamna uzima katika mwili wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 38:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nikamwambia mfalme, Mfalme na aishi milele; kwani uso wangu usiwe na huzuni, iwapo mji, ulio mahali pa makaburi ya baba zangu, unakaa ukiwa, na malango yake yameteketezwa kwa moto?


Kwa ugonjwa wangu kuwa na nguvu nyingi Mavazi yangu yameharibika; Hunikaza kama shingo ya kanzu yangu.


Mwili wangu unavikwa mabuu na madongoa ya udongo; Ngozi yangu hufumba, kisha ikatumbuka tena.


Maana siku zangu zinatoweka kama moshi, Na mifupa yangu inateketea kama kinga.


Wanafikiri pigo liualo limemshika, Akalala asiweze kusimama tena.


Mara malaika wa Bwana akampiga, kwa sababu hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na wadudu, akatokwa na roho.