Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 38:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa maana mishale yako imenichoma, Na mkono wako umenipata.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mishale yako imenichoma; mkono wako umenigandamiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mishale yako imenichoma; mkono wako umenigandamiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mishale yako imenichoma; mkono wako umenigandamiza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa mishale yako imenichoma, na mkono wako umenipiga.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa mishale yako imenichoma, na mkono wako umenishukia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana mishale yako imenichoma, Na mkono wako umenipata.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 38:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Kwa maana utawatimua utawafanya wakimbie, Kwa upote wa uta wako utazilenga nyuso zao.


Kwa maana mchana na usiku Mkono wako ulinilemea. Jasho langu likakauka hata nikawa Kama nchi kavu wakati wa kaskazi.


BWANA, unifadhili, maana ninanyauka; BWANA, uniponye, mifupa yangu imefadhaika.


Lakini Mungu atawapiga kwa mshale wake, Na kuwajeruhi ghafla.


Ameupinda upinde wake, Na kunifanya niwe shabaha kwa mshale.


Tena mkono wa BWANA ulikuwa juu yao ili kuwaangamiza, kuwatoa katika kambi hadi walipouwawa.


je! Mngesubiri hata watakapokuwa watu wazima? Mngejizuia msiwe na waume? La, sivyo, wanangu; maana ni vigumu kwangu kuliko kwenu, kwa sababu mkono wa BWANA umetoka juu yangu.


Kwa hiyo wakatuma watu waende kuwakusanya wakuu wote wa Wafilisti, wakasema, Liondoeni hilo sanduku la Mungu wa Israeli, liende tena mahali pake, ili lisituue sisi, wala watu wetu; kwa sababu kulikuwa na fadhaa kubwa sana mjini kote; mkono wa Mungu ulikuwa mzito mno huko.


Lakini mkono wa BWANA ulikuwa mzito juu ya watu wa Ashdodi, akawaangamiza, akawapiga kwa majipu, huko Ashdodi na mipakani mwake.


Kisha angalieni, likikwea kwa njia ya mpakani mwake kwenda Beth-shemeshi, basi, ndiye aliyetutenda uovu huo mkuu; la, sivyo, ndipo tutakapojua ya kwamba si mkono wake uliotupiga; ilikuwa ni bahati mbaya iliyotupata.