Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 38:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana nilisema, Wasije wakanifurahia; Wale wanaojitukuza juu yangu Mguu wangu unapoteleza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nakuomba tu maadui wasinisimange, wasione fahari juu ya kuanguka kwangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nakuomba tu maadui wasinisimange, wasione fahari juu ya kuanguka kwangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nakuomba tu maadui wasinisimange, wasione fahari juu ya kuanguka kwangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie, wala wajitukuze juu yangu mguu wangu unapoteleza.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie, wala wasijitukuze juu yangu mguu wangu unapoteleza.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana nilisema, Wasije wakanifurahia; Wale wanaojitukuza juu yangu Mguu wangu unapoteleza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 38:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Niliposema, Mguu wangu unateleza; Ee BWANA, fadhili zako zilinitegemeza.


Kisasi ni changu mimi, na kulipa, Wakati itakapoteleza miguu yao; Maana siku ya msiba wao imekaribia, Na mambo yatakayowapata yatafanya haraka.