Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 38:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wanipendao na rafiki zangu wanasimama mbali na pigo langu; Na jamaa zangu wanasimama mbali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Rafiki na wenzangu wanaepa kuona mateso yangu, na jamaa zangu wanakaa mbali nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Rafiki na wenzangu wanaepa kuona mateso yangu, na jamaa zangu wanakaa mbali nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Rafiki na wenzangu wanaepa kuona mateso yangu, na jamaa zangu wanakaa mbali nami.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Rafiki na wenzangu wananikwepa kwa sababu ya majeraha yangu; majirani wangu wanakaa mbali nami.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Rafiki na wenzangu wananikwepa kwa sababu ya majeraha yangu; majirani zangu wanakaa mbali nami.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wanipendao na rafiki zangu wanasimama mbali na pigo langu; Na jamaa zangu wanasimama mbali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 38:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana mbwa wamenizunguka; Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenidunga mikono na miguu.


Kwa sababu ya watesi wangu nimelaumiwa, Naam, hasa kwa jirani zangu; Na kitu cha kutisha kwa rafiki zangu; Wanaoniona njiani wananikimbia.


Mpenzi na rafiki umewatenga nami, Nao wanijuao wamo gizani.


Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa.


Kwa kuonewa na kuhukumiwa aliondolewa; Na maisha yake ni nani angeyajali? Maana amekatiliwa mbali na nchi ya walio hai; Alipigwa kwa sababu ya makosa ya watu wangu.


Lakini haya yote yamekuwa, ili maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.


Wakamkamata, wakamchukua, wakaenda naye nyumbani kwa Kuhani Mkuu. Na Petro alimfuata kwa mbali.


Na wote waliojuana naye, na wale wanawake walioandamana naye toka Galilaya, wakasimama kwa mbali, wakitazama mambo hayo.


Tazama, saa inakuja, naam, imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila mmoja kwao kwao, na kuniacha mimi peke yangu; lakini mimi siko peke yangu, kwa kuwa Baba yupo pamoja nami.