Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 38:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Moyo wangu unadundadunda, Nguvu zangu zimenitoka; Nuru ya macho yangu nayo imeniondoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Moyo wanidunda, nguvu zimeniishia; hata macho yangu nayo yamekwisha fifia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Moyo wanidunda, nguvu zimeniishia; hata macho yangu nayo yamekwisha fifia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Moyo wanidunda, nguvu zimeniishia; hata macho yangu nayo yamekwisha fifia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Moyo wangu unapigapiga, nguvu zangu zimeniishia; hata macho yangu yametiwa giza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Moyo wangu unapigapiga, nguvu zangu zimeniishia; hata macho yangu yametiwa giza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Moyo wangu unadundadunda, Nguvu zangu zimenitoka; Nuru ya macho yangu nayo imeniondoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 38:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Macho yangu yanafifia kwa kuungojea wokovu wako, Na kutimizwa kwa ahadi yako ya haki.


Maana maisha yangu yamekwisha kwa huzuni, Na miaka yangu kwa maumivu. Nguvu zangu zimeniishia kwa uovu wangu, Na mifupa yangu imepooza.


Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu.


Macho yangu yameharibika kwa masumbufu, Na kuchakaa kwa sababu yao wanaoniudhi.


Nimechoka kwa kulia kwangu, Koo yangu imekauka. Macho yangu yamedhoofika Kwa kumngoja Mungu wangu.


Jicho langu limefifia kwa ajili ya mateso BWANA, ninakuita kila siku; Ninakunyoshea Wewe mikono yangu.


Moyo wangu unapigapiga, utisho umenitaabisha, gizagiza la jioni nilipendalo limegeuka likanitetemesha.


Macho yangu yamechoka kwa machozi, Mtima wangu umetaabika; Ini langu linamiminwa juu ya nchi Kwa uharibifu wa binti ya watu wangu; Kwa sababu watoto wachanga na wanyonyao, Huzimia katika mitaa ya mji.