Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 37:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana kama majani watakatika mara, Kama miche mibichi watanyauka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana hao watatoweka mara kama nyasi; watanyauka kama mimea mibichi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana hao watatoweka mara kama nyasi; watanyauka kama mimea mibichi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana hao watatoweka mara kama nyasi; watanyauka kama mimea mibichi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa maana watanyauka upesi kama majani, watakufa upesi kama mimea ya kijani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa maana kama majani watanyauka mara, kama mimea ya kijani watakufa mara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana kama majani watakatika mara, Kama miche mibichi watanyauka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 37:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.


Hata wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakastawi. Mwishowe wataangamizwa milele;


Bali Wewe, BWANA, U Mtukufu hata milele.


Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.


Maana, Mwili wote ni kama majani, Na fahari yake yote ni kama ua la majani. Majani hukauka na ua lake huanguka;