Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 37:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hawataaibika wakati wa ubaya, Na siku za njaa watashiba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hawataaibika zikifika nyakati mbaya; siku za njaa watakuwa na chakula tele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hawataaibika zikifika nyakati mbaya; siku za njaa watakuwa na chakula tele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hawataaibika zikifika nyakati mbaya; siku za njaa watakuwa na chakula tele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku za maafa hawatanyauka, siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku za maafa hawatanyauka, siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hawataaibika wakati wa ubaya, Na siku za njaa watashiba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 37:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ili kuwaponya nafsi zao kutoka kwa mauti, Na kuwahuisha wakati wa njaa.


BWANA hataiacha nafsi ya mwenye haki ife na njaa; Bali tamaa ya mtu mwovu huisukumia mbali.


Maana mwanadamu naye hajui wakati wake; kama samaki wanaokamatwa katika nyavu mbaya, na mfano wa ndege wanaonaswa mtegoni, kadhalika wanadamu hunaswa katika wakati mbaya, unapowaangukia kwa ghafla.


Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakula chake; maji yake hayatakoma.


Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.


Basi BWANA asema hivi, Angalia, nakusudia jambo baya juu ya jamaa hii, ambalo hamtazitoa shingo zenu, wala hamtakwenda kwa kiburi; kwa maana ni wakati mbaya.


mkiukomboa wakati kwa maana nyakati hizi ni za uovu.