Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 37:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kidogo alicho nacho mwenye haki ni bora Kuliko wingi wa mali wa wasio haki wengi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Afadhali mali kidogo ya mtu mwadilifu kuliko utajiri wa watu waovu wengi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Afadhali mali kidogo ya mtu mwadilifu kuliko utajiri wa watu waovu wengi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Afadhali mali kidogo ya mtu mwadilifu kuliko utajiri wa watu waovu wengi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bora kidogo walicho nacho wenye haki kuliko wingi wa mali ya waovu wengi;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bora kidogo walicho nacho wenye haki kuliko wingi wa mali wa waovu wengi;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kidogo alicho nacho mwenye haki ni bora Kuliko wingi wa mali wa wasio haki wengi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 37:16
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye haki hula akaishibisha nafsi yake; Bali tumbo la mtu mbaya litaona njaa.


Afadhali mali kidogo pamoja na haki, Kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.


Laana ya BWANA i katika nyumba ya waovu, Bali huibariki maskani ya mwenye haki.


Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, BWANA ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.


Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha; bali mkosaji humpa taabu, ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye Mungu amridhia. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.


Heri konzi moja pamoja na utulivu, Kuliko konzi mbili pamoja na taabu; na kufukuza upepo.


Utupe leo riziki yetu.


Lakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa.