Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 37:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, Usiwahusudu wafanyao ubatili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usihangaike kwa sababu ya waovu; usiwaonee wivu watendao mabaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usihangaike kwa sababu ya waovu; usiwaonee wivu watendao mabaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usihangaike kwa sababu ya waovu; usiwaonee wivu watendao mabaya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usisumbuke kwa ajili ya watendao maovu, wala usiwaonee wivu watendao mabaya,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usisumbuke kwa ajili ya watendao maovu, wala usiwaonee wivu watendao mabaya,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, Usiwahusudu wafanyao ubatili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 37:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Walekevu watayastaajabia hayo, Na asiye na hatia atajiamsha juu ya mpotovu.


Utulie mbele za BWANA, Nawe umngojee kwa subira; Usihangaike juu ya afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu apangaye maovu.


Maana niliwaonea wivu wenye kujivuna, Nilipoiona hali ya amani ya wasio haki.


Upumbavu wa mtu hupotosha njia yake; Na moyo wake hununa juu ya BWANA.


Moyo wako usiwahusudu wenye dhambi; Bali mche BWANA mchana kutwa;


Usiwawaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao;


Usikasirike kwa sababu ya watenda mabaya; Wala usiwahusudu wabaya;


Usimhusudu mtu mwenye ujeuri, Wala usiichague mojawapo ya njia zake.


lakini haitakuwa heri kwa mwovu, wala hatazidisha siku zake, zilizo kama kivuli; kwa sababu hana kicho mbele za Mungu.


husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.