Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 36:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Huko ndiko walikoanguka wafanyao maovu; Wameangushwa chini wasiweze kusimama.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kumbe watendao maovu wameanguka; wameangushwa chini, hawawezi kuinuka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kumbe watendao maovu wameanguka; wameangushwa chini, hawawezi kuinuka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kumbe watendao maovu wameanguka; wameangushwa chini, hawawezi kuinuka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tazama jinsi watenda maovu walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huko ndiko walikoanguka wafanyao maovu; Wameangushwa chini wasiweze kusimama.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 36:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki.


Makaa ya moto yawaangukie, watupwe motoni, Na katika mashimo, wasipate kusimama tena.


Nitawapigapiga wasiweze kusimama, Wataanguka chini ya miguu yangu.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


BWANA amejidhihirisha na kutekeleza hukumu; Amemnasa mdhalimu kwa kazi ya mikono yake.


nawe utasema, Hivyo ndivyo utakavyozama Babeli, wala hautazuka tena, kwa sababu ya mabaya yote nitakayoleta juu yake; nao watachoka. Maneno ya Yeremia yamefika hata hapa.


Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote watakuja na kusujudu mbele zako; kwa kuwa matendo yako ya haki yamekwisha kufunuliwa.


Na waangamie vivyo hivyo adui zako wote, Ee BWANA. Bali wao wampendao na wawe kama jua hapo litokapo kwa nguvu zake. Nayo nchi ikastarehe miaka arubaini.