Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 34:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Katika BWANA nafsi yangu itajisifu, Wanyenyekevu wasikie na kufurahi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi nitaona fahari juu ya Mwenyezi-Mungu, wanyonge wasikie na kufurahi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi nitaona fahari juu ya Mwenyezi-Mungu, wanyonge wasikie na kufurahi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi nitaona fahari juu ya Mwenyezi-Mungu, wanyonge wasikie na kufurahi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nafsi yangu itajisifu katika Mwenyezi Mungu, walioonewa watasikia na wafurahi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nafsi yangu itajisifu katika bwana, walioonewa watasikia na wafurahi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika BWANA nafsi yangu itajisifu, Wanyenyekevu wasikie na kufurahi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 34:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi, nami nitarudi tena huko uchi vile vile; BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.


Jisifuni kwa jina lake takatifu, Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.


Wakuchao na wanione na kufurahi, Kwa sababu nimelitumainia neno lako.


Uitoe nafsi yangu kifungoni. Nipate kulishukuru jina lako. Wenye haki watanizunguka, Kwa kuwa Wewe unanikirimu.


Tumejisifia Mungu mchana kutwa, Na jina lako tutalishukuru milele.


Katika BWANA wazao wote wa Israeli watapewa haki, na kutukuka.


bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni BWANA, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema BWANA,


kusudi, kama ilivyoandikwa, Yeye aonaye fahari na aone fahari juu ya Bwana.


Lakini, Yeye ajisifuye, na ajisifu katika Bwana.