Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 34:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Macho ya BWANA huwaelekea wenye haki, Na masikio yake hukielekea kilio chao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu huwaangalia waadilifu, na kusikiliza malalamiko yao;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu huwaangalia waadilifu, na kusikiliza malalamiko yao;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu huwaangalia waadilifu, na kusikiliza malalamiko yao;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Macho ya Mwenyezi Mungu huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza kilio chao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Macho ya bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza kilio chao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Macho ya BWANA huwaelekea wenye haki, Na masikio yake hukielekea kilio chao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 34:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na sasa, Ee Mungu wangu, macho yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali hapa.


Yeye hawaondolei macho yake wenye haki; Lakini pamoja na wafalme huwaweka Katika viti vya enzi milele, nao hutukuzwa.


Bwana, uisikie sauti yangu. Masikio yako na yaisikilize Sauti ya dua zangu.


Tazama, jicho la BWANA li kwao wamchao, Wazingojeao fadhili zake.


Walilia, naye BWANA akasikia, Akawaponya kutoka kwa taabu zao zote.


Maskini huyu aliita, BWANA akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote.


Jiepushe na uovu, utende mema, Na kukaa hata milele.


Haya ndiyo mtakayoyatenda; kila mtu na aseme ukweli na jirani yake; katika malango yenu toeni hukumu za kweli na ziletazo amani;


BWANA wa majeshi asema hivi, Saumu ya mwezi wa nne, na saumu ya mwezi wa tano, na saumu ya mwezi wa saba, na saumu ya mwezi wa kumi, zitakuwa furaha na shangwe, na sikukuu za kuchangamkia, kwa nyumba ya Yuda; basi zipendeni kweli na amani.


Kwa kuwa macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, Na masikio yake husikiliza maombi yao; Bali uso wa Bwana uko juu ya watenda mabaya.