Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 33:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana mioyo yetu itamfurahia, Kwa kuwa tumelitumainia jina lake takatifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naam twafurahi kwa sababu yake; tuna matumaini katika jina lake takatifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naam twafurahi kwa sababu yake; tuna matumaini katika jina lake takatifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naam twafurahi kwa sababu yake; tuna matumaini katika jina lake takatifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mioyo yetu humshangilia, kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mioyo yetu humshangilia, kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana mioyo yetu itamfurahia, Kwa kuwa tumelitumainia jina lake takatifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 33:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

Jisifuni kwa jina lake takatifu; Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.


Nanyi semeni, Ee Mungu wa wokovu wetu, utuokoe, Utukusanye kwa kututoa katika mataifa, Tulishukuru jina lako takatifu, Tuzifanyie shangwe sifa zako.


Lakini mimi nimezitumainia fadhili zako; Moyo wangu na uufurahie wokovu wako.


BWANA ni nguvu zangu na ngao yangu. Moyo wangu umemtumaini, Nami nimesaidiwa; Basi, moyo wangu unashangilia, Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.


Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.


Na watu wa Efraimu watakuwa kama shujaa, na moyo wao utafurahi kana kwamba ni kwa divai; naam, watoto wao wataona mambo haya, na kufurahi; mioyo yao itamfurahia BWANA.


Basi ninyi hivi sasa mna huzuni; lakini mimi nitawaona tena; na mioyo yenu itafurahi, na furaha yenu hakuna awaondoleaye.


Na hawa wenye uhai wanne, kila mmoja alikuwa na mabawa sita; pande zote na ndani wamejaa macho, wala hawapumziki mchana wala usiku, wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, Bwana Mungu Mwenyezi, aliyekuwako na aliyeko na atakayekuja.