Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 33:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ili kuwaponya nafsi zao kutoka kwa mauti, Na kuwahuisha wakati wa njaa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye huwaokoa katika kifo, huwaweka hai wakati wa njaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye huwaokoa katika kifo, huwaweka hai wakati wa njaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye huwaokoa katika kifo, huwaweka hai wakati wa njaa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ili awaokoe na mauti, na kuwahifadhi wakati wa njaa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ili awaokoe na mauti, na kuwahifadhi wakati wa njaa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ili kuwaponya nafsi zao na mauti, Na kuwahuisha wakati wa njaa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 33:19
13 Marejeleo ya Msalaba  

Amewapa wamchao chakula; Atalikumbuka agano lake milele.


Wanasimba hutindikiwa, na kuona njaa; Bali wamtafutao BWANA hawapungukiwi kitu chochote kilicho chema.


Hawataaibika wakati wa ubaya, Na siku za njaa watashiba.


Umtumaini BWANA ukatende mema, Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu.


Mabaya hayatakupata wewe, Wala tauni haitaikaribia hema yako.


BWANA hataiacha nafsi ya mwenye haki ife na njaa; Bali tamaa ya mtu mwovu huisukumia mbali.


Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakula chake; maji yake hayatakoma.


Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu.


Mimi na Baba tu mmoja.


Ndipo Petro alipopata fahamu akasema, Sasa nimejua hakika kuwa Bwana amemtuma malaika wake na kunitoa katika mkono wa Herode na katika kutazamia kote kwa taifa la Wayahudi.