Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 30:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mna faida gani katika damu yangu Nishukapo Shimoni? Mavumbi yatakusifu? Yatautangaza uaminifu wako?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Je, utapata faida gani nikifa na kushuka hadi kwa wafu? Je, mavumbi ya wafu yanaweza kukusifu? Je, yanaweza kusimulia uaminifu wako?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Je, utapata faida gani nikifa na kushuka hadi kwa wafu? Je, mavumbi ya wafu yanaweza kukusifu? Je, yanaweza kusimulia uaminifu wako?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Je, utapata faida gani nikifa na kushuka hadi kwa wafu? Je, mavumbi ya wafu yanaweza kukusifu? Je, yanaweza kusimulia uaminifu wako?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kuna faida gani katika kuangamia kwangu, katika kushuka kwangu shimoni? Je, mavumbi yatakusifu? Je, yatatangaza uaminifu wako?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kuna faida gani katika kuangamia kwangu? Katika kushuka kwangu shimoni? Je, mavumbi yatakusifu? Je, yatatangaza uaminifu wako?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mna faida gani katika damu yangu Nishukapo Shimoni? Mavumbi yatakusifu? Yatautangaza uaminifu wako?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 30:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya BWANA.


Maana mautini hapana kumbukumbu lako; Katika kuzimu ni nani atakayekushukuru?


Nilimwita kwa kinywa changu, Na sifa kuu zilikuwa chini ya ulimi wangu.


Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe.


Kwa kuwa kuzimu hakuwezi kukusifu; mauti haiwezi kukuadhimisha; Wale washukao shimoni hawawezi kuutumainia uaminifu wako.