Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 3:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Sitayaogopa maelfu na maelfu ya watu, Waliojipanga Juu yangu pande zote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sitayaogopa maelfu ya watu, wanaonizingira kila upande.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sitayaogopa maelfu ya watu, wanaonizingira kila upande.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sitayaogopa maelfu ya watu, wanaonizingira kila upande.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sitayaogopa maelfu na maelfu ya watu, Waliojipanga Juu yangu pande zote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 3:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wa Israeli wakapigwa huko mbele ya watumishi wa Daudi, kukawa na maangamizo makuu huko siku ile, ya watu elfu ishirini.


Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri pamoja, Juu ya BWANA, Na juu ya masihi wake,


Naam, nijapopita kati ya bonde la kivuli cha mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.


Kwa hiyo hatutaogopa ijapobadilika nchi, Ijapotetemeka milima moyoni mwa bahari.


BWANA wa majeshi yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.


Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.


Uendapo yatakuongoza, ulalapo yatakulinda, Na uamkapo yatazungumza nawe.


Basi, tuseme nini juu ya hayo? Mungu akiwapo upande wetu, ni nani awezaye kutupinga?