Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 3:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nilijilaza na kulala usingizi, kisha ninaamka tena, Kwa kuwa BWANA ananitegemeza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nalala na kupata usingizi, naamka tena maana wewe ee Mwenyezi-Mungu wanitegemeza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nalala na kupata usingizi, naamka tena maana wewe ee Mwenyezi-Mungu wanitegemeza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nalala na kupata usingizi, naamka tena maana wewe ee Mwenyezi-Mungu wanitegemeza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Mwenyezi Mungu hunitegemeza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana bwana hunitegemeza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nilijilaza na kulala usingizi, kisha nikaamka tena, Kwa kuwa BWANA ananitegemeza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 3:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi.


Mwelekezeeni macho, mpate kufurahi, Na nyuso zenu hazitaaibishwa kamwe.


Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara, Maana Wewe, BWANA, peke yako, Ndiwe unijaliaye kukaa salama.


Aliyeiweka nafsi yetu katika uhai, Wala hakuuacha mguu wetu usogezwe.


Kumcha BWANA ni tumaini imara; Watoto wake watakuwa na kimbilio.


Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama.


Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.


Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini.


Nami nitawapa amani katika nchi, tena mtalala na hakuna atakayewatia hofu; nami nitawakomesha wanyama wabaya katika nchi yenu, wala hautapita upanga katika nchi yenu.


Hata wakati Herode alipotaka kumtoa, usiku ule ule Petro alikuwa analala katikati ya askari wawili, amefungwa minyororo miwili; walinzi mbele ya mlango wakalilinda gereza.