Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 26:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Usiiondoe nafsi yangu pamoja na wakosaji, Wala uhai wangu pamoja na wauaji.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, wala usinitupe pamoja na wauaji,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, wala usinitupe pamoja na wauaji,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, wala usinitupe pamoja na wauaji,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi, wala uhai wangu pamoja na wanaomwaga damu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi, wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usiiondoe nafsi yangu pamoja na wakosaji, Wala uhai wangu pamoja na wauaji.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 26:9
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na Shimei alipolaani, alisema hivi, Nenda zako! Nenda zako! Ewe mtu wa damu! Ewe mtu usiyefaa!


Kulikuwa na njaa siku za Daudi muda wa miaka mitatu, mwaka kwa mwaka; naye Daudi akautafuta uso wa BWANA. BWANA akasema, Ni kwa ajili ya Sauli, na kwa nyumba yake yenye damu, kwa kuwa aliwaua hao Wagibeoni.


Ee Mungu, laiti ungewaua waovu! Na laiti watu wa damu wangetoka kwangu;


Ee MUNGU, Mungu wa wokovu wangu, Uniponye na umwagaji wa damu, Na ulimi wangu utaiimba haki yako.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Ndipo mtakaporudi, nanyi mtapambanua kati ya wenye haki na waovu, kati ya yeye amtumikiaye Mungu na yeye asiyemtumikia.


atamkata vipande viwili, na kumwekea fungu lake pamoja na wanafiki; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


na mataifa yote yatakusanyika mbele zake; naye atawabagua kama vile mchungaji abaguavyo kondoo na mbuzi;


Ndipo hao pia watajibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona wewe ukiwa na njaa, au ukiwa na kiu, au ukiwa mgeni, au ukiwa uchi, au ukiwa mgonjwa, au ukiwa kifungoni, tusikuhudumie?


Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele.


Na hata ijapokuwa binadamu angeinuka akuwinde, na kuitafuta nafsi yako, hiyo nafsi ya bwana wangu itafungwa katika furushi ya uhai pamoja na BWANA, Mungu wako; na nafsi za adui zako ndizo atakazozitupa nje, kama kutoka kati ya kombeo.