Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wenye dhambi; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.
Zaburi 26:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Nimelichukia kusanyiko la watenda mabaya, Wala sitaketi pamoja na watu waovu. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Nachukia mikutano ya wabaya; wala sitajumuika na waovu. Biblia Habari Njema - BHND Nachukia mikutano ya wabaya; wala sitajumuika na waovu. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Nachukia mikutano ya wabaya; wala sitajumuika na waovu. Neno: Bibilia Takatifu ninachukia kusanyiko la watenda maovu, na ninakataa kuketi pamoja na waovu. Neno: Maandiko Matakatifu ninachukia kusanyiko la watenda mabaya na ninakataa kuketi pamoja na waovu. BIBLIA KISWAHILI Nimelichukia kusanyiko la watenda mabaya, Wala sitaketi pamoja na watu waovu. |
Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wenye dhambi; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.