Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 26:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nimelichukia kusanyiko la watenda mabaya, Wala sitaketi pamoja na watu waovu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nachukia mikutano ya wabaya; wala sitajumuika na waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nachukia mikutano ya wabaya; wala sitajumuika na waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nachukia mikutano ya wabaya; wala sitajumuika na waovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ninachukia kusanyiko la watenda maovu, na ninakataa kuketi pamoja na waovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ninachukia kusanyiko la watenda mabaya na ninakataa kuketi pamoja na waovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimelichukia kusanyiko la watenda mabaya, Wala sitaketi pamoja na watu waovu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 26:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wenye dhambi; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.


Nawachukia wao washikao yasiyofaa yenye uongo; Bali mimi namtumainia BWANA.