Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 26:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Sikai pamoja na watu waovu, Wala sitaingia kuwa pamoja na wanafiki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sijumuiki na watu wapotovu; sishirikiani na watu wanafiki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sijumuiki na watu wapotovu; sishirikiani na watu wanafiki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sijumuiki na watu wapotovu; sishirikiani na watu wanafiki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siketi pamoja na watu wadanganyifu, wala siandamani na wanafiki,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siketi pamoja na watu wadanganyifu, wala siandamani na wanafiki,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sikai pamoja na watu waovu, Wala sitaingia kuwa pamoja na wanafiki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 26:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwamba nimetembea katika ubatili, Na mguu wangu umeukimbilia udanganyifu;


Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wenye dhambi; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.


Moyo wa ukaidi utaondoka kwangu, Lililo ovu sitalijua.


Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu.


Mimi ni mwenzi wa watu wote wakuchao, Na wale wayatiio mausia yako.


Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi hana ufahamu.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.


Sikuketi katika mkutano wao wanaojifurahisha, wala sikufurahi, niliketi peke yangu kwa sababu ya mkono wako; kwa maana umenijaza ghadhabu.


Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.


Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.