Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 25:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wenye upole atawaongoza katika haki, Wenye upole atawafundisha njia yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huwaongoza wanyenyekevu katika uadilifu; naam, huwafundisha hao njia yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huwaongoza wanyenyekevu katika uadilifu; naam, huwafundisha hao njia yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huwaongoza wanyenyekevu katika uadilifu; naam, huwafundisha hao njia yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huwaongoza wanyenyekevu katika haki, naye huwafundisha njia yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huwaongoza wanyenyekevu katika haki, naye huwafundisha njia yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wenye upole atawaongoza katika haki, Wenye upole atawafundisha njia yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 25:9
28 Marejeleo ya Msalaba  

Uniendeshe katika mapito ya amri zako, Kwa maana nimependezwa nayo.


Unifundishe akili na maarifa, Maana nimeyaamini maagizo yako.


Unifundishe kuyatenda mapenzi yako, Kwa maana ndiwe Mungu wangu; Roho yako mwema aniongoze katika njia iliyo sawa,


BWANA huwategemeza wenye upole, Huwaangusha chini wenye jeuri.


Kwa kuwa BWANA awaridhia watu wake, Huwapamba wenye upole kwa wokovu.


Wapole watakula na kushiba, Wamtafutao BWANA watamsifu; Mioyo yenu na iishi milele.


Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.


Ee BWANA, unifundishe njia yako, Na kuniongoza katika njia iliyonyoka; Kwa sababu yao wanaoniotea;


Utaniongoza kwa shauri lako, Na baadaye utanikaribisha kwa utukufu.


Mungu aliposimama ili kuhukumu Na kuwaokoa wapole wa dunia wote pia.


Natembea katika njia ya haki, Katikati ya mapito ya hukumu.


bali kwa haki atawahukumu maskini, naye atawaonya wanyenyekevu wa dunia kwa adili; naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, na kwa pumzi ya midomo yake atawaua wabaya.


Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu BWANA amenitia mafuta niwahubirie wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwatibu waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.


Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.


Mtafuteni BWANA, enyi nyote mlio wanyenyekevu wa dunia, ninyi mliozitenda hukumu zake; itafuteni haki, utafuteni unyenyekevu; huenda mtafichwa katika siku ya hasira ya BWANA.


Heri wenye upole; Maana hao watairithi nchi.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


akasema, Ewe mwenye kujaa hila na uovu wote, mwana wa Ibilisi, adui wa haki yote, huachi kuzipotoa njia za Bwana zilizonyooka?


akataka ampe barua za kuenda Dameski zilizoandikwa kwa masinagogi, ili akiona watu wa Njia hii, wanaume kwa wanawake, awafunge na kuwaleta Yerusalemu.


upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.


njia ile aliyotuanzia iliyo mpya, iliyo hai, ipitayo katika pazia, yaani, mwili wake;


Kwa hiyo wekeeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea kwa upole neno lile lililopandwa ndani, liwezalo kuziokoa roho zenu.


Muwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa heshima.


bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.