Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 25:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Macho yangu humwelekea BWANA daima, Naye atanitoa miguu yangu katika wavu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Namwangalia Mwenyezi-Mungu daima; yeye atainasua miguu yangu mtegoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Namwangalia Mwenyezi-Mungu daima; yeye atainasua miguu yangu mtegoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Namwangalia Mwenyezi-Mungu daima; yeye atainasua miguu yangu mtegoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Macho yangu humwelekea Mwenyezi Mungu daima, kwa kuwa yeye peke yake ndiye ataitoa miguu yangu kutoka mtego.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Macho yangu humwelekea bwana daima, kwa kuwa yeye peke yake ndiye ataitoa miguu yangu kutoka mtego.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Macho yangu humwelekea BWANA daima, Naye atanitoa miguu yangu katika wavu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 25:15
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ee mfalme, bwana wangu, macho ya Israeli wote yanakuelekea wewe, kwamba uwaambie ni nani atakayeketi katika kiti chako cha enzi baada yako, Ee mfalme, bwana wangu.


Ee Mungu wetu, je! Hutawahukumu? Maana sisi hatuna uwezo juu ya jamii kubwa hii, wanaotujia juu yetu; wala hatujui tufanyeje; lakini macho yetu yanatazama kwako.


Kama vile macho ya watumishi Yanavyoutegemea mkono wa bwana zao Kama macho ya mjakazi Yanavyoutegemea mkono wa bimkubwa wake; Ndivyo macho yetu yanavyomtegemea BWANA, Mungu wetu, Hadi atakapoturehemu.


Macho yangu yanakuelekea Wewe, MUNGU Bwana, Nimekukimbilia Wewe, usiniache bila kinga.


Utanitoa katika wavu walionitegea kwa siri, Maana Wewe ndiwe ngome yangu.


Maana katika watu wangu wameonekana watu waovu; huvizia kama vile watu wategao mitego; hutega mtego, na kunasa watu.