Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 25:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee BWANA, nakuinulia nafsi yangu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Mwenyezi-Mungu, kwako naielekeza nafsi yangu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Mwenyezi-Mungu, kwako naielekeza nafsi yangu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Mwenyezi-Mungu, kwako naielekeza nafsi yangu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwako wewe, Ee Mwenyezi Mungu, naweka tumaini yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwako wewe, Ee bwana, nainua nafsi yangu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee BWANA, nakuinulia nafsi yangu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 25:1
5 Marejeleo ya Msalaba  

Uniwezeshe kusikia fadhili zako asubuhi, Kwa maana nimekutumaini Wewe. Unifundishe njia nitakayoiendea, Kwa maana ninakuinulia nafsi yangu.


Mtu aliye na mikono safi na moyo mweupe, Asiyeiweka nafsi yake katika uongo, Wala hakuapa kwa hila.


Uifurahishe nafsi ya mtumishi wako, Maana nafsi yangu nakuinulia Wewe, Bwana.


Na tumwinulie Mungu aliye mbinguni Mioyo yetu na mikono.


Hana akajibu, akasema, Hasha! Bwana wangu, mimi ni mwanamke mwenye roho ya huzuni, mimi sikunywa divai wala kileo, ila nimeimimina roho yangu mbele za BWANA.