Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 22:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Husema, Umtegemee BWANA; na amponye; Na amwokoe sasa, maana apendezwa naye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Husema: “Alimtegemea Mwenyezi-Mungu, basi, Mungu na amkomboe! Kama Mungu anapendezwa naye, basi, na amwokoe!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Husema: “Alimtegemea Mwenyezi-Mungu, basi, Mungu na amkomboe! Kama Mungu anapendezwa naye, basi, na amwokoe!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Husema: “Alimtegemea Mwenyezi-Mungu, basi, Mungu na amkomboe! Kama Mungu anapendezwa naye, basi, na amwokoe!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanasema, “Amtegemea Mwenyezi Mungu, basi Mwenyezi Mungu na amwokoe. Amkomboe basi, kwa maana anapendezwa naye.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Husema, “Anamtegemea bwana, basi bwana na amwokoe. Amkomboe basi, kwa maana anapendezwa naye.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Husema, Umtegemee BWANA; na amponye; Na amwokoe sasa, maana apendezwa naye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 22:8
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nami ningeweza kunena kama ninyi; Kama roho zenu zingekuwa mahali pa roho yangu, Ningeweza kutunga maneno juu yenu, Na kuwatikisia ninyi kichwa changu.


Nami nimekuwa wa kudharauliwa na watu, Wanionapo hutikisa vichwa vyao.


Akanitoa akanipeleka panapo nafasi, Aliniponya kwa kuwa alipendezwa nami.


Umkabidhi BWANA njia yako, Pia umtumainie, naye atakutendea.


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Umtwike BWANA mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.


Wakisema, Mungu amemwacha, Mfuatieni, mkamateni, hakuna wa kumponya.


Kwa kuwa amekaza kunipenda Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu.


Mkabidhi BWANA kazi zako, Na mawazo yako yatakuwa kweli.


Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake; naye atawatolea mataifa hukumu.


Tazama, mtumishi wangu niliyemteua; Mpendwa wangu, moyo wangu uliyependezwa naye; Nitatia roho yangu juu yake, Naye atawatangazia Mataifa hukumu.


Alipokuwa bado akisema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye.


na tazama, sauti kutoka mbinguni ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.


Watu wakasimama wakitazama. Wale wakuu nao walikuwa wakimfanyia mzaha, wakisema, Aliokoa wengine; na ajiokoe mwenyewe, kama ndiye Kristo wa Mungu, mteule wake.