Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 22:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kinywani mwa simba uniokoe; Naam, toka pembe za nyati umenijibu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uniokoe kinywani mwa simba; iokoe nafsi yangu dhaifu toka pembe za nyati hao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uniokoe kinywani mwa simba; iokoe nafsi yangu dhaifu toka pembe za nyati hao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uniokoe kinywani mwa simba; iokoe nafsi yangu dhaifu toka pembe za nyati hao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Niokoe kutoka kinywani mwa simba, niokoe kutoka pembe za nyati.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Niokoe kutoka kinywani mwa simba, niokoe kutoka pembe za mafahali mwitu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kinywani mwa simba uniokoe; Naam, toka pembe za nyati umenijibu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 22:21
12 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA, utatazama hadi lini? Uiokoe nafsi yangu kutoka kwa maangamizi yao, Na maisha yangu kutoka kwa wanasimba.


Na nyati watateremka pamoja nao, na ndama pamoja na mafahali, na nchi yao italewa kwa damu, na mavumbi yake yatanoneshwa kwa shahamu.


Mungu amewaleta kutoka Misri, Naye ana nguvu kama nguvu za nyati.


Kila siku nilipokuwa pamoja nanyi hekaluni hamkuninyoshea mikono, lakini hii ndiyo saa yenu, na mamlaka ya giza.


Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana anakuja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.


Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.


Maana ni kweli, Herode na Pontio Pilato pamoja na Mataifa na watu wa Israeli, walikusanyika katika mji huu juu ya Mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta,


Mzaliwa wa kwanza wa ng'ombe wake mume, enzi ni yake; Na pembe zake ni pembe za nyati; Kwa hizo atayasukuma mataifa yote, hata ncha za nchi; Nao ni makumi ya maelfu ya Efraimu, Nao ni maelfu ya Manase.


Lakini Bwana alisimama pamoja nami akanitia nguvu, ili kwa kazi yangu ule ujumbe utangazwe kwa utimilifu, hata wasikie Mataifa yote; nami nikaokolewa kutoka kwa kinywa cha simba.


Muwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka zunguka, akitafuta mtu ammeze.