Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 22:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu Na wakati wa usiku lakini sipati raha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu; napiga yowe usiku, lakini nafuu sipati.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu; napiga yowe usiku, lakini nafuu sipati.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu; napiga yowe usiku, lakini nafuu sipati.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu, hata usiku, sinyamazi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu, hata usiku, sinyamazi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu Na wakati wa usiku lakini sipati raha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 22:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Ee BWANA, Mungu wa majeshi, hadi lini Utayaghadhibikia maombi ya watu wako?


Ee BWANA, Mungu wa wokovu wangu Mchana na usiku nimelia mbele zako.


Umejifunika nafsi yako kwa wingu, Maombi yetu yasipite.


Naam, nikilia na kuomba msaada, Huyapinga maombi yangu.


Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale.


Na Mungu, je! Hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku, naye ni mvumilivu kwao?


Ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.


usiku na mchana tunapoomba kwa juhudi tupate kuwaona nyuso zenu, na kuurekebisha upungufu wa imani yenu?


Namshukuru Mungu, nimwabuduye kwa dhamiri safi tangu zamani za wazee wangu, kama vile nikukumbukavyo wewe daima, katika kuomba kwangu usiku na mchana.