Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 21:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mkono wako utawapata adui zako wote, Mkono wako wa kulia utawapata wanaokuchukia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mkono wako ewe mfalme utawakamata maadui zako wote; mkono wako wa kulia utawakamata wanaokuchukia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mkono wako ewe mfalme utawakamata maadui zako wote; mkono wako wa kulia utawakamata wanaokuchukia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mkono wako ewe mfalme utawakamata maadui zako wote; mkono wako wa kulia utawakamata wanaokuchukia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mkono wako utawashika adui zako wote, mkono wako wa kuume utawakamata adui zako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mkono wako utawashika adui zako wote, mkono wako wa kuume utawakamata adui zako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mkono wako utawapata adui zako wote, Mkono wako wa kuume utawapata wanaokuchukia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 21:8
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, mfalme alipokuwa akikaa katika nyumba yake, hapo BWANA alipomstarehesha, asiudhiwe na adui zake waliomzunguka pande zote,


Ndiyo malipo ya washitaki wangu toka kwa BWANA, Na ya hao wanaoisingizia nafsi yangu mabaya.


Nimemweka BWANA mbele yangu daima, Kwa kuwa yuko kuliani mwangu, sitaondoshwa.


Wewe, BWANA, nguvu yangu, nakupenda sana;


Utawaponda kwa fimbo ya chuma, Na kuwavunja kama chombo cha mfinyanzi.


Wakaao jangwani na wainame mbele zake; Adui zake na warambe mavumbi.


Kama vile mkono wangu ulivyofikia falme za sanamu, ambazo sanamu zao za kuchongwa zilikuwa bora kuliko sanamu za Yerusalemu na za Samaria;


Lakini watu wa mji wake walimchukia, wakatuma wajumbe kumfuata na kusema, Hatumtaki huyu atutawale.


Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.


Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke adui zake wote chini ya miguu yake.


Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili kwa upanga huo awapige mataifa. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.


Na hata ijapokuwa binadamu angeinuka akuwinde, na kuitafuta nafsi yako, hiyo nafsi ya bwana wangu itafungwa katika furushi ya uhai pamoja na BWANA, Mungu wako; na nafsi za adui zako ndizo atakazozitupa nje, kama kutoka kati ya kombeo.


Tena vita vilikuwa vikali sana juu ya Sauli, na wapiga upinde wakampata; hata akafadhaika sana kwa sababu ya wapiga upinde.