Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 21:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Umempa haja ya moyo wake, Wala hukumzuilia matakwa ya midomo yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Umemtimizia matakwa ya moyo wake; wala hukumkatalia ombi lake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Umemtimizia matakwa ya moyo wake; wala hukumkatalia ombi lake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Umemtimizia matakwa ya moyo wake; wala hukumkatalia ombi lake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Umempa haja ya moyo wake na hukumzuilia maombi ya midomo yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Umempa haja ya moyo wake na hukumzuilia maombi ya midomo yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Umempa haja ya moyo wake, Wala hukumzuilia matakwa ya midomo yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 21:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe ujifurahishe katika BWANA, Naye atakutimizia haja za moyo wako.


Na jicho langu limeona kuanguka kwa adui zangu, Sikio langu limesikia maangamizi ya waovu walionishambulia.


Naye, kwa sababu hii, anaweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; maana yu hai sikuzote ili awaombee.


Naye Hana akaomba, akasema, Moyo wangu wamshangilia BWANA, Pembe yangu imetukuka katika BWANA, Kinywa changu kimepanuka juu ya adui zangu; Kwa kuwa naufurahia wokovu wako;