Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 21:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Matunda yao utayaharibu na kuyaondoa katika nchi, Na wazao wao katika wanadamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utawaangamiza wazawa wao kutoka duniani; watoto wao hawatasalia kati ya binadamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utawaangamiza wazawa wao kutoka duniani; watoto wao hawatasalia kati ya binadamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utawaangamiza wazawa wao kutoka duniani; watoto wao hawatasalia kati ya binadamu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utawaangamiza wazao wao kutoka duniani, uzao wao kutoka wanadamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utawaangamiza wazao wao kutoka duniani, uzao wao kutoka wanadamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Matunda yao utayaharibu na kuyaondoa katika nchi, Na wazao wao katika wanadamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 21:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu atakayeigusa hiyo, Na awe na chuma na mpini wa mkuki, Nao watateketezwa papo hapo kwa moto.


Kila aliyetaka akamweka wakfu, ili wawepo makuhani wa mahali pa juu. Jambo hilo likawa dhambi kwa nyumba ya Yeroboamu, hata kuiharibu, na kuifuta usoni pa nchi.


Mali ya nyumba yake yatanyakuliwa, Yatamwagika mbali katika siku ya ghadhabu zake.


Wazawa wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.


Kwa kuwa BWANA hupenda haki, Wala hawaachi watauwa wake. Wao hulindwa milele, Bali mzawa wa wasio haki ataharibiwa.


Hutaungamanishwa pamoja nao katika mazishi, Kwa maana umeiharibu nchi yako, Umewaua watu wako; Kizazi chao watendao uovu hakitatajwa milele.


Kwa maana, angalieni, siku ile inakuja, inawaka kama tanuri; na watu wote wenye kiburi, nao wote watendao uovu, watakuwa makapi; na siku ile inayokuja itawateketeza, asema BWANA wa majeshi; hata haitawaachia shina wala tawi.