Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 20:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako, Na kukutimizia mipango yako yote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akujalie unayotamani moyoni mwako, aifanikishe mipango yako yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akujalie unayotamani moyoni mwako, aifanikishe mipango yako yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akujalie unayotamani moyoni mwako, aifanikishe mipango yako yote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Na akujalie haja ya moyo wako, na aifanikishe mipango yako yote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Na akujalie haja ya moyo wako, na aifanikishe mipango yako yote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako, Na kukutimizia mipango yako yote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 20:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

vitu hivi vyote, Ee mfalme, mimi Arauna nakupa wewe mfalme. Kisha Arauna akamwambia mfalme, BWANA, Mungu wako, na akukubali.


Mfalme Sulemani akampa malkia wa Sheba kila kitu alichokitaka na zaidi ya vile alivyomletea mfalme. Basi akarudi, akaenda zake katika nchi yake, yeye na watumishi wake.


Hutimiza matakwa ya wote wamchao, Na pia husikia kilio chao, na huwaokoa.


Umempa haja ya moyo wake, Wala hukumzuilia matakwa ya midomo yake.


Nawe ujifurahishe katika BWANA, Naye atakutimizia haja za moyo wako.


Haja ya mwenye haki ni kupata mema tu; Bali kutaraji kwake mtu mwovu huishia katika ghadhabu.


Na yoyote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea.


Nami nilijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nilisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.


Tena siku ile hamtaniuliza neno lolote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lolote atawapa kwa jina langu.


Lakini mkewe akamwambia, Kama BWANA angetaka kutuua hangepokea sadaka ya kuteketezwa, wala sadaka ya unga, mikononi mwetu, wala hangetuonesha mambo hayo yote, wala hangetuambia mambo kama hayo wakati huu.


Basi sasa, nakusihi, bwana wangu, mfalme, na asikie maneno ya mtumishi wake. Ikiwa ni BWANA aliyekuchochea juu yangu, na akubali sadaka; bali ikiwa ni wanadamu, na walaaniwe mbele za BWANA; kwa sababu wamenifukuza leo, nisishikamane na urithi wa BWANA, wakisema, Nenda, ukatumikie miungu mingine.