Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 20:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akutumie msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akupelekee msaada kutoka hekaluni mwake; akutegemeze kutoka mlima Siyoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akupelekee msaada kutoka hekaluni mwake; akutegemeze kutoka mlima Siyoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akupelekee msaada kutoka hekaluni mwake; akutegemeze kutoka mlima Siyoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Na akutumie msaada kutoka patakatifu na akupatie msaada kutoka Sayuni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Na akutumie msaada kutoka patakatifu na akupatie msaada kutoka Sayuni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akutumie msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 20:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Daudi aliiteka ngome ya Sayuni; huu ndio mji wa Daudi.


Wakaliingiza sanduku la BWANA, na kuliweka mahali pake, katikati ya hema aliyoipiga Daudi kwa ajili yake, naye Daudi akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za BWANA.


Akajenga mikono ishirini pande za nyuma za nyumba toka chini hata juu kwa mbao za mwerezi; naam, ndani akaijengea chumba cha ndani, yaani, patakatifu pa patakatifu.


Kwa sauti yangu namwita BWANA Naye aniitikia toka mlima wake mtakatifu.


Kwa maana wageni wamenishambulia; Watu watishao wananitafuta nafsi yangu; Hawakumweka Mungu mbele yao.


Hata nilipoingia katika patakatifu pa Mungu, Nikautafakari mwisho wao.


Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama.


Paza sauti, piga kelele, mwenyeji wa Sayuni; Maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu kati yako.


Wajumbe wa taifa hilo waletewe jibu gani? Ya kuwa BWANA ameiweka misingi ya Sayuni, na ndani yake wale walioonewa katika watu wake watapata kimbilio kwake.