Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 2:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Uniombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako, Na miisho ya dunia kuwa milki yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Niombe nami nitakupa mataifa yawe urithi wako, na dunia nzima kuwa mali yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Niombe nami nitakupa mataifa yawe urithi wako, na dunia nzima kuwa mali yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Niombe nami nitakupa mataifa yawe urithi wako, na dunia nzima kuwa mali yako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, na miisho ya dunia kuwa milki yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uniombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako, Na miisho ya dunia kuwa milki yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 2:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Miisho yote ya dunia itakumbuka, Na watu watamrejea BWANA; Jamaa zote za mataifa watamsujudia.


Na awe na enzi toka bahari hadi bahari, Toka Mto hadi miisho ya dunia.


Ee Mungu, usimame, uihukumu nchi, Maana mataifa yote ni yako.


Nami nitamjalia kuwa mzaliwa wangu wa kwanza, Kuwa juu sana kuliko wafalme wote wa dunia.


Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.