Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 2:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo atakaposema nao kwa hasira yake, Na kuwafadhaisha kwa ghadhabu yake, akisema:

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha, anawakaripia kwa ghadhabu, na kuwatisha kwa hasira, akisema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha, anawakaripia kwa ghadhabu, na kuwatisha kwa hasira, akisema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha, anawakaripia kwa ghadhabu, na kuwatisha kwa hasira, akisema:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo atakaposema nao kwa hasira yake, Na kuwafadhaisha kwa ghadhabu yake, akisema:

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 2:5
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ndiyo malipo ya washitaki wangu toka kwa BWANA, Na ya hao wanaoisingizia nafsi yangu mabaya.


Utawafanya kuwa kama tanuri ya moto, Wakati wa ghadhabu yako. BWANA atawameza kwa ghadhabu yake, Na moto utawateketeza.


bali kwa haki atawahukumu maskini, naye atawaonya wanyenyekevu wa dunia kwa adili; naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, na kwa pumzi ya midomo yake atawaua wabaya.


Maana BWANA ana ghadhabu juu ya mataifa yote, na hasira kali juu ya jeshi lao lote; amewaangamiza kabisa, amewatoa waende kuchinjwa.


Sauti ya fujo itokayo mjini! Sauti itokayo hekaluni! Sauti ya BWANA awalipaye adui zake adhabu!


Nami ninayakasirikia sana mataifa yanayostarehe; kwa maana mimi nilikuwa nimekasirika kidogo tu, nao wakayazidisha maafa.


Basi yule mfalme akaghadhibika; akatuma majeshi yake, akawaangamiza wauaji wale, akauteketeza mji wao.


Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.


Naye alikuwa na nyota saba katika mkono wake wa kulia; na upanga mkali, wenye makali kuwili, ukitoka katika kinywa chake; na uso wake kama jua liking'aa kwa nguvu zake.


Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili kwa upanga huo awapige mataifa. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.