Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 2:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na sasa, enyi wafalme, iweni na hekima, Enyi watawala wa dunia, mwaonywa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sasa enyi wafalme, tumieni busara; sikilizeni onyo hili, enyi watawala wa dunia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sasa enyi wafalme, tumieni busara; sikilizeni onyo hili, enyi watawala wa dunia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sasa enyi wafalme, tumieni busara; sikilizeni onyo hili, enyi watawala wa dunia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na sasa, enyi wafalme, iweni na hekima, Enyi watawala wa dunia, mwaonywa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 2:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na watu wa Tiro wanakushawishi kwa zawadi, Nao matajiri wa watu watajipendekeza kwako.


Na wafalme watakuwa baba zako walezi, na malkia zao mama zako walezi; watainama mbele yako kifudifudi, na kuramba mavumbi ya miguu yako; nawe utajua ya kuwa mimi ni BWANA, tena waningojeao hawatatahayarika.


ndivyo atakavyowastusha mataifa mengi; wafalme watamfumbia vinywa vyao; maana mambo wasiyoambiwa watayaona; na mambo wasiyoyasikia watayafahamu.


Na mataifa wataijia nuru yako, Na wafalme kuujia mwanga wa mapambazuko yako.


Uonyeke, Ee Yerusalemu, nafsi yangu, isije ikafarakana nawe; nisije nikakufanya ukiwa, nchi isiyokaliwa na watu.


Ni nani aliye na hekima, naye atayafahamu mambo haya? Ni nani aliye na busara, naye atayajua? Kwa maana njia za BWANA zimenyoka, nao wenye haki watakwenda katika njia hizo; bali waasio wataanguka ndani yake.


Tena itakuwa, ya kwamba mtu awaye yote wa jamaa zote zilizomo duniani, asiyekwea kwenda Yerusalemu ili kumwabudu Mfalme, BWANA wa majeshi, mvua haitanyesha kwao.